1. Kwa sababu umevunja sheria ya Mungu, umetenda dhambi kama watu wengine
2. Unastahili kuokolewa kwa dhambi zako
3. Hauwezi Kujiokoa wewe mwenyewe
4. Ni Yesu Kristo pekee anaye weza kukuokoa kutoka kwa adhabu ya dhambi
1. Ukiri na kuungama dhambi zako kwa Mungu
Soma Waraka wa Kwanza wa Yohana – 1:9
2. Acha dhambi zako
Soma Matendo ya Mitume 17:30
3. Mwamini Kristo Yesu
Soma Matendo ya Mitume 16:31
4. Mwishie Mungu
Soma Wakorintho wa Kwanza 10:31