Shopping CartShopping Cart

Cart (0) items

Four Things You Need to Know
(Kenyan Swahili Translation)


MAMBO MANNE UNAYOSTAHILI KUJUA


1.      Kwa sababu umevunja sheria ya Mungu, umetenda dhambi kama watu wengine

  • Kila atendaye dhambi amefanya uasi kwa Mungu – soma Waraka wa kwanza wa Yohana 3:4
  • Hakuna mwenye haki hata mmoja – soma Warumi 3:10
  • Wote wametenda dhambi na kupungukiwa na utukufu wa Mungu – Soma Warumi 3:23


2.      Unastahili kuokolewa kwa dhambi zako

  • Ghadhabu ya Mungu imedhihirishwa kutoka mbinguni juu ya uasi wote na uovu wa wanadamu wapingao ukweli kwa uovu – soma Warumi 1:18
  • Watu wanawekewa kufa mara moja, na baada ya kufa hukumu – soma Waebrania 9:27
  • Mshahara wa dhambi ni mauti – soma Warumi 6:23


3.      Hauwezi Kujiokoa wewe mwenyewe

  • Ni kwa nehema pekee kwa njia ya imani mmeokolewa. Wokovu huu hauji kutoka kwa matendo yetu, ili tujivune hila ni kipawa cha Mungu – soma Waefeso 2:8,9
  • Wanadamu hawahesabiwi haki kwa matendo ya sheria – soma Wagalatia 2;16
  • Yesu alisema, “Mimi ndimi njia, ukweli, na uzima, mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi” – soma Injili ya Yohana 14:6

 4.      Ni Yesu Kristo pekee anaye weza kukuokoa kutoka kwa adhabu ya dhambi

  • Kristo naye aliteswa mara moja kwa ajili ya dhambi, mwenye haki kwa ajili ya wasio haki ili atulete kwa Mungu – soma Waraka wa Kwanza wa Petro 3:18
  • Kwa maana jinsi hii, Mungu aliupenda ulimwengu, hata akamtoa Mwanawe wa pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele – soma Injili ya Yohana 3:16
  • Karama (Kipawa) cha Mungu ni uzima wa milele katika Kristo Yesu Bwana wetu – soma Warumi 6:23
  • Kila amwaminiye Mwana ana uzima wa milele, asiyemwamini Mwana hataona uzima, bali ghadhabu ya Mungu inamkalia – soma Injili ya Yohana 3:36

 

MAMBO MANNE NI LAZIMA UFANYE

1.      Ukiri na kuungama dhambi zako kwa Mungu

 Soma Waraka wa Kwanza wa Yohana – 1:9


2.      Acha dhambi zako

Soma Matendo ya Mitume 17:30


3.      Mwamini Kristo Yesu

Soma Matendo ya Mitume 16:31


4.      Mwishie Mungu

Soma Wakorintho wa Kwanza 10:31

border